The Official website of Tanzania Football Federation

Kiosi cha Timu ya Twiga Stars kilichopambana na Timu ya Namibia katika uwanja wa Taifa

Mchezaji wa Twiga Stars akichanja mbuga kuwapita wchezaji wa Timu ya Namibia

mashabiki waliohudhuria mpambano wa Twiga Stars na Namibia

Mshambuliaji hatari wa Twiga Stars Asha akifanya vitu vyake

Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah akitoa shukrani kwa MSD kwakuipatia msaada timu ya Twiga Stars, kulia ni mkurugenzi wa shughuli za Kanda ya Mashariki Boharia Lucy Nderimo


 

External links