by tff admin | Apr 18, 2022 | News
Dk Maleko Awamwagia Sifa Serengeti Girls Balozi wa Tanzania Dkt. Jilly Maleko ameipongeza timu ya Taifa ya wasichana wenye umri chini ya miaka 17 baada ya timu hiyo kufanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya bao 4-0 kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Urukundo...
by tff admin | Apr 16, 2022 | News
Serengeti Girls Yatakata Ugenini Timu ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Girls imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono dhidi ya Burundi baada ya kuiadhibu kwa jumla ya mabao 4-0 katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Urukundo Mjini Ngozi, Aprili 16,...
by tff admin | Apr 14, 2022 | News
Serengeti Girls Kamili Kuikabiri Burundi Timu ya Taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Girls inatarajia kuondoka hii leo kuelekea Ngozi nchini Burundi tayari kwaajili ya mchezo wake wa hatua ya pili ya Kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Burundi Aprili...
by tff admin | Mar 30, 2022 | Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), News
TMA,Kasulu United Kuzifuata TRA na Stand United Nusu Fainali Mwendelezo wa michezo ya kundi B katika mashindano ya Fainali za Ligi ya Mabingwa wa Mikoa yanayo fanyika mkoani Kilimanjaro, mechi mbili zilizo pigwa Machi 30, 2022 katika uwanja wa Limpopo TPC zimemalizika...
by tff admin | Mar 29, 2022 | News, Taifa Stars
Taifa Stars Sudan Ngoma Ngumu Mchezo wa kirafika wa Kimataifa uliopigwa kwa Mkapa, Machi 29, 2022 uliwakutanisha Taifa Stars dhidi ya Sudan na kumalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu baada ya kutoka sare ya bao moja kwa moja. Mchezo huo uliopigwa majira ya saa 1:00...