by tff admin | Mar 10, 2022 | News, Twiga Stars
Rais Samia aichangia Twiga Stars. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ameichangia timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars kiasi cha shilingi milioni 15 katika tamasha la Orange Concert lililoandaliwa na Baraza la michezo la Taifa BMT...
by tff admin | Mar 10, 2022 | News
Wasichana U-17 Tizi kwa Kwenda Mbele Timu ya Taifa ya wasichana chini ya miaka 17 imejipanga vyema kuendeleza ushindi kwenye mchezo wake wa marudiano dhidi ya Botswana mara baada ya kupata ushindi wa mabao 7-0 kwenye mchezo wa awali uliochezwa Machi 06, 2022 kwenye...
by tff admin | Mar 4, 2022 | News
Matumaini Yetu Wachezaji Wako Tayari Kufanya Vizuri; Shime Kauli ya kocha mkuu wa timu za Taifa za wanawake Bakari Shime akizungumzia maandalizi ya kikosi cha U17 Machi 3, 2022 walipokuwa mazoezini kwenye uwanja wa Amaan. Kikosi hicho kinachojiandaa kwa mchezo wa...
by tff admin | Mar 4, 2022 | Grassroots-For Kids, News
TFF yaendesha kozi ya Grassroots. Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania Wallace Karia amefungua kozi ya awali ya ukocha wa Grassroots “FIFA GRASSROOTS FOOTBALL COACHING COURSE” inayofanyika makao makuu ya TFF Karume jijini Dar Es Salaam. Kozi ya Grassroots ni...
by tff admin | Feb 23, 2022 | Kilimanjaro Queens, News
Shime Aanza Kuchanga Karata Zake Kombe la Dunia India Jumla ya wachezaji 26 wanaounda timu ya Taifa ya wasichana chini ya miaka 17 wimeingia kambini huko visiwani Zanzibar kuiwinda Botswana kwenye mchezo wao wa awali unaotarajiwa kuchezwa Machi 06, 2022 ikiwa ni...