by tff admin | Jan 23, 2022 | News, The Tanzanite
Tumejitahidi Kudhibiti Wapinzani Wasipate Bao la Ugenini Kauli ya Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya wasichana chini ya miaka 20 (U20) Tanzanite Bakari Shime mara baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Taifa ya Ethiopia katika mchezo wa awali katika...
by tff admin | Jan 5, 2022 | News, Serengeti Boys
Serengeti Boys kushiriki mashindano ya Aegean 2022. Kikosi cha timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (U-17) Serengeti Boys kimeingia kambini tayari kujinoa na mashindano ya Aegean 2022 (Aeagen Cup Tournament), yanayotarajia kuanza kurindima Januari 15...
by tff admin | Jan 4, 2022 | Coaching, News
Mkatusaidie Kuzalisha Vijana Wengi Zaidi Kwenye Mpira Agizo hilo limetolewa Januari 04, 2022 na Makamu wa Kwanza wa Rais TFF Athumani Nyamlani alipokuwa akiwakabidhi vyeti washiriki wapatao 51 waliohitimu kozi ya CAF D Diploma iliyo fanyika makao makuu ya Shirikisho...
by tff admin | Jan 4, 2022 | Grassroots-For Kids, News
Barka Seif Ajax kwa Mwaka 2021 Mwishoni mwa mwaka 2021 kituo cha Ajax kilichopo nchini Uholanzi kilimtangaza kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 7 Barka Seif Mpanda kuwa ndio “KINDA BORA WA MWAKA 2021” kutokana na ubora alio uonesha kijana huyo kwa...
by tff admin | Jan 4, 2022 | News, Women's Premier League
Simba Queens Yazidi Kujibebea Pointi SWPL Ni katika muendelezo wa mechi za Ligi Kuu ya Wanawake (SWPL) ambayo ipo kwenye mzunguko wa tatu, mchezo nambari 14 uliowakutanisha Ilala Queens na Simba Queens umemalizika kwa mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Simba queens...