Barka Seif Ajax kwa Mwaka  2021

Barka Seif Ajax kwa Mwaka 2021

    Barka Seif Ajax kwa Mwaka 2021 Mwishoni mwa mwaka 2021 kituo cha Ajax kilichopo nchini Uholanzi kilimtangaza kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 7 Barka Seif Mpanda kuwa ndio “KINDA BORA WA MWAKA 2021” kutokana na ubora alio uonesha kijana huyo kwa...