by tff admin | Dec 29, 2021 | News, Women's Premier League
Simba Queens Yaanza Ligi Kibabe Pazia la Ligi Kuu ya Wanawake (SWPL) msimu 2021/2022 limefunguliwa Disemba 23, 2021 kwa kupigwa michezo miwili ambapo moja kati ya mechi zilizo chezwa ni kati ya Simba Queens (Mabingwa watetezi SWPL) iliyoanza kwa kishindo baada ya...
by tff admin | Dec 21, 2021 | News
Kazi ya Serikali ni Kuweka Mazingira Wezeshi kwa Timu Zote Zinazo Peperusha Bendera Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa Disemba 21, 2021 alipokutana na timu ya Taifa ya Tanzanite pamoja na benchi la ufundi kwa...
by tff admin | Dec 15, 2021 | News
Rais Karia Kuishika Mkono Mwanga Rais wa Shirirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Wallec Karia anayeendelea na ziara zake za kikazi kutazama shughuli mbalimbali za maendeleo ya mpira wa miguu hapa nchini ameahidi kuunga juhudi zinazofanywa na wadau wa soka wilayani...
by tff admin | Dec 13, 2021 | News
TFF Mabingwa Wapya Kombe la TFF Media Bonanza 2021 TFF yatwaa ubingwa wa bonanza la vyombo vya habari lililo fanyika Disemba 12, 2021 Gwambina Lounge kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe ambapo lililomalizika kwa timu ya TFF kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penati...
by tff admin | Dec 12, 2021 | Ligi Kuu Tanzania Bara, News
Simba Young Africans Watunishiana Misuli kwa Mkapa Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, uliowakutanisha watani wa jadi Simba SC na Young Africans kwenye dimba la Benjamin William Mkapa majira ya saa 11:00 jioni umemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu kwa kutoka...