by tff admin | Dec 10, 2021 | News, Taifa Stars
Uganda Yaendeleza Ubabe kwa Stars Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” imeshindwa kuonesha makali yake dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda katika mchezo wa kirafika wa Kimataifa uliopigwa Disemba 09 katika uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya kupoteza kwa bao 2-0;...
by tff admin | Dec 10, 2021 | News, Taifa Stars, The Tanzanite
Tanzanite Yashindwa Kutamba Mechi ya Kirafiki Timu ya Taifa ya wasichana chini ya miaka 2O (Tanzanite) yashindwa kupata matokeo mbele ya timu ya Taifa ya Uganda baada ya kupoteza kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye dimba la Benjamin Mkapa Disemba...
by tff admin | Dec 8, 2021 | News, The Tanzanite
Tanzanite Kucheza Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Uganda Siku ya Uhuru, Disemba 9 Timu ya Taifa ya wasichana wenye umri chini ya miaka 20 (Tanzanite) inatarajia kushuka dimbani Disemba 9, 2021 kwenye sherehe za maazimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika kucheza mchezo...
by tff admin | Dec 5, 2021 | News, The Tanzanite
Tanzanite Yaanza Vyema Safari Kulekea Costa-Rica 2022 Mchezo wa kuwania kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kati ya timu ya Taifa ya Tanzania “Tanzanite” na Burundi umemalizika kwa Tanzanite kuibuka na ushindi wa mabao 3-2, kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa Desemba 4 saa...
by tff admin | Nov 23, 2021 | Ligi Kuu Tanzania Bara, News
TFF Yazidi Kupata Wadhamini wa Ligi Kuu Bara Ligi Kuu ya NBC Tanzania imezidi kupata neema baada ya kupatikana kwa mdhamini mwingine “GSM GROUP”aliyesaini mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya fedha za Kitanzania kiasi cha shilingi Bilioni Mbili nukta moja...