by tff admin | Nov 19, 2021 | Beach Soccer, Men's Beach Soccer, News
Michuano ya COSAFA Yaanza Kurindima Durban, Afrika Kusini. Michano ya COSAFA kwa upande wa Soka la Ufukweni (Beach Soccer) imeanza kutimua vumbi rasmi Novemba 17, 2021 katika fukwe za jiji la Durban zilizopo Afrika ya Kusini ndani ya viwanja vya ‘South...
by tff admin | Nov 16, 2021 | Coaching, News, Referees
Rais Karia Asisitiza Umoja na Mshikamano kwa Wakufunzi wa Ukocha Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Wallace Karia amewataka washiriki wa kozi ya Ukufunzi wa Ukocha Ngazi ya FIFA kwenda kushirikiana vyema na viongozi wa vyama vya Soka Mikoani pamoja na...
by tff admin | Nov 9, 2021 | News
Rais Karia Afungua Kozi ya Ukocha wa Magolikipa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania limefungua mafunzo ya Ukocha wa Magolikipa inayotolewa na shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) inayotambulika kwa jina la (FIFA GOAL KEEPING COACHING COURSE) na kuipa nafasi...
by tff admin | Nov 6, 2021 | News, The Tanzanite
Tanzanite Yashindwa Kutamba kwa Uganda Timu ya Taifa ya Tanzania Tanzanite inayoshiriki mashindano ya CECAFA Women’s U20 Championship 2021 kwa mara nyingine imepoteza kwenye mchezo wake wanne dhidi ya Uganda baada ya kufanya hivyo pia kwenye mchezo wake uliopita dhidi...
by tff admin | Nov 5, 2021 | News, Taifa Stars
Serikali yaongeza nguvu Taifa Stars. Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wadau na wapenzi wa soka kote nchini kuungana kwa pamoja na kuhakikisha timu ya soka ya taifa inafanya vizuri katika michezo miwili iliyobakia ya...