by tff admin | Nov 1, 2021 | Ligi Kuu Tanzania Bara, News
Young Africans Kiungo Kimekolea, Yatoa Dozi Nyingine kwa Azam FC Mchezo uliowakutanaisha Young Africans dhidi ya Azam FC ulimalizika kwa timu ya Young Africans kuichabanga Azam kwa mabao mawili kwa sifuri. Mchezo huo uliopigwa Oktoba 30, 2021 majira saa 1:00 usiku...
by tff admin | Oct 15, 2021 | News, Tanzania Bara U20, The Tanzanite, Twiga Stars
Rais Samia apiga simu katika Hafla ya Wizara kuwapongeza Twiga Stars usiku wa jana. Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amepiga simu katikati ya hafla ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo kupitia kwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Hassan Abbasi...
by tff admin | Oct 11, 2021 | News, Twiga Stars
Twiga Stars Yarejea Dar na Kikombe cha COSAFA Timu ya Taifa “Twiga Stars” imewasili katika uwanja wa Julius Kambarage Nyerere ikitokea Afrika Kusini ikiwa na Kombe ililolitwaa Oktoba 09, 2021 baada ya kuifunga Malawi bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya COSAFA WOMEN’S...
by tff admin | Oct 10, 2021 | News, Twiga Stars
Rais Samia Awapongeza Twiga Stars Kubeba Kombe Afrika Kusini Rais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amsema kuwa timu ya Taifa ya Twiga Stars imeendelea kuijengea heshma Tanzania baada ya kufanikiwa kubeba Kombe kwenye mashindano ya COSAFA...
by tff admin | Oct 10, 2021 | Ligi Kuu Tanzania Bara, News
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Yatangaza Uchaguzi Mkuu Kamati ya Uchaguzi ya Shirikikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza rasmi kufanyika kwa uchauguzi wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) utakao fanyika Novemba 27 mwaka huu mkoani Kigoma. Tangazo kuhusu kufanyika...