by tff admin | Oct 7, 2021 | Ligi Kuu Tanzania Bara, News
NBC Yategua Kitendawili cha Udhamini Ligi Kuu Bara Kitendawili kilichokuwa miongoni mwa wadau wengi wa mpira wa miguu Tanzania kuhusu nani atakuwa mdhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (TPL) kimeteguliwa Octoba 6, 2021 ambapo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetia...
by tff admin | Oct 7, 2021 | News, Twiga Stars
Twiga Stars Uso kwa Uso na Zambia Nusu Fainali Timu ya Taifa ya Tanzania Twiga Stars inayoshiriki mashindano ya COSAFA Women’s Championship 2021 yanayofanyika Port Elizabeth nchini Afrika Kusini inatarajia kushuka dimbani kucheza mchezo wake wa nusu fainali dhidi ya...
by tff admin | Oct 7, 2021 | News, Taifa Stars
Stars “Tuko Tayari Kuitetea Bendera Ya Taifa Kocaha Mkuu wa kikosi cha Taifa “Taifa Stars” Kim Poulsen amesema kuwa wachezaji wake wako tayari kuendelea kuipeperusha vyema Bendera ya Tiafa la Tanzania kwa kujituma kwa hali na mali kuhakikisha wanaibuka na ushindi...
by tff admin | Oct 7, 2021 | News, Twiga Stars
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake “Twiga Stars” imekuwa timu ya kwanza kufuzu nusu fainali ya mashindano ya Cosafa kwa Wanawake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Botswana. Ushindi huo unamaanisha hakuna timu itakayoweza kuizidi katika Kundi B hata...
by tff admin | Sep 30, 2021 | News, Twiga Stars
Twiga Stars Yaanza Kibabe, Yawaduwaza Wazimbwe Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imeanza vizuri kwenye mchezo wake wa kwanza wa mashindano ya COSAFA Women’s Champion yanayofanyika kwenye mji wa Port Elizabeth nchini Afrika Kusini ambako Septemba 29,2021 timu...