by tff admin | Sep 8, 2021 | News
Rais Karia Afungua Rasmi Kozi ya Ukufunzi Ngazi ya CAF Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) Wallace Karia amefungua rasmi kozi ya ukufunzi ngazi ya CAF Septemba 07, 2021 inayofanyika katika Makao Makuu ya Shirikisho hilo yaliyopo Ilala jijini Dar es...
by tff admin | Sep 8, 2021 | News, Taifa Stars
Taifa Stars Yawa Moto Yaichapa Madagascar Kwa Mkapa Timu ya Taifa Taifa Stars imefanikiwa kupata ushindi wa bao 3-2 kwa moja katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na kujiwekea mazingira mazuri ya kukaa nafasi ya pili katika kundi...
by tff admin | Sep 1, 2021 | News, Taifa Stars
Samatta Arejea Tena Kukipiga Ulaya Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Mbwana Ally Samatta amerejea nchini Ubelgiji alipokuwa akicheza katika timu ya GENK kwa ajili ya kujiunga na moja kati ya timu zinazoshiriki ligi kuu baada ya klabu yake ya...
by tff admin | Sep 1, 2021 | Grassroots-For Kids, News
Mzazi wa Barka Aeleza Kuhusu Mwanaye Kwenda Uholanzi Mzazi wa Barka Seif amefunguka mengi baada ya kijana wake kupata nafasi ya kwenda kufanya majaribio kwenye timu za mpira wa miguu za watoto kwa muda wa wiki mbili ndani ya kituo maarufu duniani cha Ajax Amserdam...
by tff admin | Aug 30, 2021 | News
Barka Atinga Kukipiga Ulaya Kijana wa Kitanzania aitwae Barka Seif Mpanda (7) leo Agosti 28, 2021 ametua katika kituo cha Ajax Amsterdam Academy, kilichopo nchini Uholanzi kwa ajili ya kuanza majaribio. Kijana huyo mwenye kipaji cha aina yake amekwenda nchini Uholanza...