by tff admin | Aug 30, 2021 | News
Young Africans Yaazimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi Kigumu Mabingwa wa kihistoria nchini Dar Young Africans wamefanya utambulisho wa wachezaji wao wa msimu 2021/2022 katika siku ya kilele cha maazimisho ya wiki ya mwananchi huku Haji Sundey Manara akianza rasmi...
by tff admin | Aug 30, 2021 | News
CAF Yaumwagia Sifa Uongozi na Utawala Bora wa Karia Uongozi na utawala bora uliopo chini ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia umezidi kuthibitika wazi kwa mafanikio makubwa ambayo hakuna haja ya kusimuliwa ili kuweza kuyafahamu bali kwa...
by tff admin | Aug 30, 2021 | News
Rais Samia Kudhamini CECAFA Wanawake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la kudhamini mashindano ya wanawake ya CECAFA baada ya kupokea maombi ya udhamini wa mashindano hayo yatakayo kuwa yakifanyika kila mwaka kutoka kwa Rais wa...
by tff admin | Aug 30, 2021 | News
Serikali Yahimiza Wanamichezo na Wanahabari Kupata Chanjo Serikali yatoa hamasa kwa wadau wa soka, wanahabari na Wanamichezo kulipa umuhimu mkubwa suala la kuchoma chanjo ya Uviko-19 kwajili ya kulinda afya zao. Kuali hiyo ilitolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni...
by tff admin | Aug 19, 2021 | Coaching, News, Taifa Stars
Stars Mguu Sawa Kuelekea Kombe la Dunia Qutar 2022 Kocha wa timu ya Taifa Tanzania, ‘Taifa Stars’ Kim Poulsen atangaza kikos kitakacho vaana na DR Congo Septemba 2, mwaka huu huko nchini Congo kabla ya kurudiana mnamo tarehe 7 mwezi huo huo. Kikosi hicho cha Stars...