by tff admin | Aug 11, 2021 | Coaching, News
Kozi ya Diploma ‘A’ CAF Yaanza TFF Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia Idara yake ya Ufundi limeendelea kutoa Kozi ya Stashahada ‘A’ ya CAF kuanzia Agosti 02, 2021 katika darasa linaloendeshwa kwenye Makao Makuu ya Shirikisho hilo yaliopo...
by tff admin | Aug 11, 2021 | News
KMKM Yakubali Yaishe Mbele ya Express KIKOSI cha Express FC kutoka Uganda kimetinga kucheza hatua ya fainali ya michuano ya CECAFA Kagame Cup 2021 inayofanyika nchini Tanzania, baada ya kuwachapa KMKM bao 2-1 wapinzani wao hao kutoka visiwani Zanzibar kwenye mchezo wa...
by tff admin | Aug 3, 2021 | News
Express FC ya Uganda Yafungua Pazia la Ushindi Kagame 2021 Mchezo wa kwanza uliochezwa Agosti 02, 2021 katika dimba la Azam Complex Chamazi kati ya Atlabara FC ya Sudani Kusini na Express FC kutoka Uganda ulimalizika kwa timu ya Express FC kutoka Uganda kuanza...
by tff admin | Aug 3, 2021 | News
TBC na TFF Waingia Mkataba Matangazo ya Redio Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) rasmi Agosti 3, 2021 imeingia mkataba wa miaka 10 na Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) wa haki za kurusha matangazo yanayo beba maudhui ya mechi za Ligi Kuu Soka Bara...
by tff admin | Jul 30, 2021 | News
Fainali ya michuano ya CECAFA U23 msimu wa 2021 imerindima hii leo Julai 30, 2021 kwa kuzikutanisha Tanzania U23 dhidi ya Burundi U23 katika uwanja wa Bahir Dar, Ethiopia moja kati ya mchezo uliokuwa ukisubiriwa na watu wengi sana. Timu zote zilingia uwanjani kwa hali...