by tff admin | Apr 12, 2023 | News
Wizara Imewazawadia Fountain Gate Academy Milioni 10 Wizara ya Utamaduni, sanaa na Michezo imewazawadia timu ya Fountain Gate Dodoma wachezaji na benchi la ufundi fedha taslim shilingi Milioni 10 ikiwa ni sehemu ya pongezi baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa Afrika...
by tff admin | Apr 12, 2023 | News, Tanzania Bara U20, The Tanzanite, Twiga Stars
Kocha Shime: Mechi za kirafiki zinatuandaa kuelekea mashindano ya kimataifa Kocha mkuu wa timu za taifa za wanawake Bakari Shime amesema mechi za kirafiki za kalenda ya FIFA zinawaandaa wachezaji kujiweka tayari kuelekea mashindano ya kimataifa. Hayo ameyasema mara...
by tff admin | Apr 12, 2023 | News, Tanzania Bara U20, The Tanzanite, Twiga Stars
Balozi Kingu: Tuna imani na timu zetu za taifa Balozi wa Tanzania nchini Algeria Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu amesema serikali bado ina imani kubwa na timu za taifa kufanya vizuri katika michezo ya kimataifa na kuendelea kuliwakilisha taifa vizuri katika...
by tff admin | Apr 5, 2023 | News, Women's Premier League
Fountain Gate Academy Yaanza Vyema Mashindano ya Shule Afrika Timu ya Fountain Gate Dodoma imeanza vyema mashindano ya African Schools Championship huko Durban nchini Afrika Kusini baada ya kupata ushindi mbele ya wenyeji wa mashindano hayo Adendale Technical....
by tff admin | Mar 27, 2023 | News, Taifa Stars
Hemed Morocco:Tumejiandaa kuwapa Furaha watanzania Kocha msaidizi wa timu ya Taifa Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema Taifa Stars imejipanga kuwapa furaha watanzania katika mchezo wa marudiano wa kufuzu AFCON dhidi ya timu ya taifa ya Uganda ‘The...
by tff admin | Mar 27, 2023 | News, Taifa Stars
Rais Samia Akoleza Mzuka Stars, Aongeza Tiketi Elfu Tano na Aahidi Kila Bao 10Milioni Rais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongeza Idadi ya tiketi kutoka elfu mbili (2000) hadi tiketi Elfu Saba (7000) kwa ajili ya kuwagawia mashabiki...