Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup

Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup

Twiga Stars Mabingwa Tunis Women’s Cup Timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” imetwaa Ubingwa mashindano ya Tunis Women’s Cup 2024 yaliyofanyika nchini Tunisia yakishirikisha nchi za Tanzania, Botswana na wenyeji Tunisia. Twiga Stars ilifikia...
Simba Queens Yakabidhiwa Kombe TWPL

Simba Queens Yakabidhiwa Kombe TWPL

Simba Queens Yakabidhiwa Kombe TWPL   Mabingwa wapya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWP) Simba Queens wamekabidhiwa kombe baada ya mchezo wao dhidi ya Geita Queens Juni 14, 2024 uliochezwa uwanja wa Azam Complex Chamazi. Kwenye mchezo huo Simba Queens waliibuka...
Stars Yawasili Dar na Kupokea Kitita cha Goli la Mama

Stars Yawasili Dar na Kupokea Kitita cha Goli la Mama

Stars Yawasili Dar na Kupokea Kitita cha Goli la Mama Timu ya Taifa ya Tanzania ” Taifa Stars” imerejea nchini Juni 13, 2024 na kukabidhiwa kitita cha milioni Kumi (10,000,000/=) za Goli la Mama mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
Kocha Shime Aridhishwa na Uwezo wa Nyota Wake

Kocha Shime Aridhishwa na Uwezo wa Nyota Wake

Kocha Shime Aridhishwa na Uwezo wa Nyota Wake Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars” Bakari Shime ameweka wazi kirudhishwa na Uwezo walioonyesha nyota wake kwenye mechi mbili za kimataifa za kirafiki zioizochezwa mwishoni mwa mwezi Mei hapa...