Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah akitoa shukrani kwa MSD kwakuipatia msaada timu ya Twiga Stars, kulia ni mkurugenzi wa shughuli za Kanda ya Mashariki Boharia Lucy Nderimo
Kikosi cha Timu ya Twiga Stars kabla ya kupambana na Timu ya Bunge SC.
Mchezaji wa Timu ya Bunge SC akipambana na mchezaji wa Twiga Stars katika mchezo wa Hisani uliofanyika uwanja wa Karume
Mshambuliaji wa Timu ya Bunge SC. Mheshimiwa Adam Malima akimtoka beki wa Twiga Stars, Siajabu Hassan wakati wa mchezo ya hisani uwanja wa Karume, Twiga Stars ilishinda 2-1.
Timu ya Azam FC ilipochukuwa ubingwa wa Mapinduzi Zanzibar hivi karibuni